About this Feed
Briceka aggregates and curates high-quality content from trusted sources. This feed is updated regularly to provide you with the latest insights, news, and updates.
Curated RSS Feed by Briceka Admin.
Wakenya wameibua tena jumbe za rambirambi za Okoth Obado za mwaka 2018 kwa Sharon Otieno baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mwanafunzi huyo....
Kampuni ya Safaricom imeanza kurejesha kiotomatiki salio la zamani la M-Pesa kwa wateja wenye laini mpya, hatua iliyowashangaza wengi nchini.......
Mike Sonko asema alikosana na Uhuru Kenyatta baada ya kukataa kubomoa makazi ya Ruai ili kupisha mradi wa mifereji wa Northlands City. TUKO.co.ke..
Mwanafalme Abdullah bin Fahad alikutwa amefariki dunia katika hoteli London. Uchunguzi wa kina ulibaini viwango vya juu vya pombe na dawa mwilini.
Dakika chache baada ya Obado na wenzake kupatikana na hatia ya kumuua Sharon Otieno, dada yake Whitney alitoa ujumbe wa hisia akimshukuru Mungu.....
Mohamed Ali asema ushahidi wa CCTV umebomoa madai ya kuficha ukweli katika kesi ya mwalimu Albert Ojwang, akisisitiza kuwa haki itatendeka hivi karibu...
Tume ya EACC imeitaja kuwa bandia barua iliyosambaa ikidai Rais William Ruto amewateua Winnie Odinga, Junet Mohammed na wengine kuwa mawaziri......
Jaji Cecilia Githua alisema gavana wa zamani Obado alitaka kuzima siri ya uhusiano wake na Sharon Otieno ili kuepuka aibu ya kisiasa baada ya ujauzito...
Jaji Cecilia Githua alisema Okoth Obado alitaka kuzima siri ya uhusiano wake na Sharon Otieno ili kuepuka aibu ya kisiasa baada ya ujauzito wao.....
Mahakama Kuu ilimpata gavana wa zamani Okoth Obado na wenzake na hatia ya mauaji ya Sharon Otieno, huku hukumu hiyo ikizua hisia nzito na kilio kortin...
Aliyekuwa gavana wa Migori Okoth Obado amepatikana na hatia ya kumuua Sharon Otieno huku ushahidi ukimhusisha yeye na washitakiwa wenzake. TUKO.co.ke
Rigathi Gachagua anashangaa kuhusu nafasi ya Charles Owino kuwa msemaji mpya wa serikali, akidai Rais William Ruto huzungumzia kila suala mwenyewe.
Idara ya Hali ya Hewa yatabiri mvua katika kaunti 26 huku Turkana ikitarajiwa kurekodi joto la juu la nyuzi 36, Nairobi nayo ikipokea mvua. TUKO.co.ke
Emily asema video iliyosambaa mitandaoni ya kumuadhibu mwanawe iliigizwa kumtisha aache wizi, huku familia ikisisitiza kuwa hakukuwa na madhara yoyote...
Gundua Bendor Farm ya Chris Kirubi huko Thika, shamba la ekari 1,000 lenye mashamba makubwa ya ndizi na parachichi lililoonyesha maono yake ya kilimo.
Briceka aggregates and curates high-quality content from trusted sources. This feed is updated regularly to provide you with the latest insights, news, and updates.
Secure, spam-free access via your favorite platform.